Skip to main content
Skip to main content

Wadau wataka usawa katika mfumo mpya wa ufadhili wa masomo

  • | Citizen TV
    696 views
    Duration: 2:46
    Wadau katika sekta ya elimu wanashinikiza kuwepo kwa usawa katika mfumo mpya wa ufadhili wa masomo nchini. Wakizungumza katika vikao vya umma vilivyoanza rasmi Mombasa na Trans-Nzoia, wadau hao wamewataka wanasiasa kukoma kuingilia sekta ya elimu, wakilaumu mwingilio huo kwa kudorora kwa elimu nchini.