Skip to main content
Skip to main content

Wafugaji walima mashamba eneobunge la Laikipia Kaskazini

  • | Citizen TV
    346 views
    Duration: 1:15
    Baadhi ya jamii za wafugaji katika Eneo Bunge la Laikipia Kaskazini wameanza kukumbatia kilimo cha mimea katika jitihada za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.