Skip to main content
Skip to main content

Wagonjwa wa saratani waitaka serikali kuongeza bima ya matibabu hadi shilingi milioni 1.2

  • | Citizen TV
    457 views
    Duration: 3:01
    Wagonjwa wa saratani wameitaka serikali kuongeza fedha wanazotengewa katika bima ya SHA kutoka laki nne hadi milioni mojana laki mbili wakisema kuwa gharama ya matibabu ni juu mno. Baadhi ya wagonjwa hao ambao waliandamana jana jijini nairobi wanasema imewalazimu kuacha matibabu katikati na kusababisha vifo vya wengi