Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wanaofadhiliwa na Global Fund wataka ajira

  • | Citizen TV
    254 views
    Duration: 1:50
    Wahudumu wa afya walioko chini ya ufadhili wa Global Fund wameitaka serikali iwajumuishe mara moja katika ajira ya kudumu baada ya kukosa mishahara kwa zaidi ya miezi 15.