Skip to main content
Skip to main content

Wakazi 418 kati ya 13,700 waliolengwa wajisajili Nyeri

  • | Citizen TV
    141 views
    Duration: 1:24
    Wapiga Kura wapya 418 kati ya walengwa zaidi ya 13,700 ndio waliosajiliwa katika kaunti ya Nyeri kufikia jumatano, Kwenye zoezi ambalo limeshuhudia idadi ndogo sana ya vijana, wanaojitokeza kujisajili kama wapiga kura.