- 450 viewsDuration: 2:57Wakazi wa mtaa wa Kipkaren jijini eldoret kaunt ya Uasin Gishu hii leo wamebolewa nyumba zao kufuatia mzozo wa shamba kati yao na kanisa la ACK. Maskwota hao wanasema wameishi hapo kwa zaidi ya miaka 70 na wanashangaa kwanini wanafurushwa... Hata hivyo askofu wa kanisa hilo Christopher Ruto anasisitiza ardhi hiyo inamilikiwa na kanisa kihalali..