Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Kiropket kaunti ya Nandi walalamikia ubovu wa barabara ya Kapkonoin

  • | Citizen TV
    142 views
    Duration: 1:38
    Shughuli za uchukuzi na biashara zilikatizwa kwa muda mjini Kapsabet baada ya mamia ya wakazi kutoka Kijiji cha Kiropket, kwenye eneo bunge la Emgwen, Kaunti ya Nandi, kuandamana kwa zaidi ya kilomita 20 kushinikiza baadhi ya mabwenyenye kuruhusu upanuzi na ujenzi wa Barabara ya Kapkonoin