Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Magarini wawataka wanasiasa kuhubiri amani

  • | Citizen TV
    313 views
    Duration: 57s
    Wakazi kutoka Eneo Bunge la Magarini wamewarai viongozi kuheshimu sheria na utaratibu wa kupiga kura ili kuzuia vurugu wakati wa uchaguzi mdogo Alhamisi.