- 3,549 viewsDuration: 1:52Wakazi wa Kaunti ya Nandi wametoa onyo kali kwa baadhi ya watumishi wa umma na viongozi wa ngazi za juu wanaodaiwa kujaribu kuwaamulia wananchi viongozi watakaowaongoza badala ya kuwaachia wapiga kura haki ya kuchagua viongozi wanaowapendelea kupitia uchaguzi huru na wa haki.