- 30 views
Baadhi ya wakazi wa eneo la Oljorai katika kaunti ya Nakuru waliandamana kulalamikia kile walichotaja kuwa njama ya unyakuzi wa ardhi yao na watu mashuhuri serikalini. Wakazi hao waliojawa ghadhabu waliwakashifu vikali wale wamnaopanga njama hiyo wakiapa kuwa katu hawataondoka kwenye ardhi hiyo ambayo wanasema ni urithi walioachiwa na mababu zao. Wakiongozwa na aliyekuwa mwakilishi wadi wa eneo hilo John Ole Seina wakazi hao wanasema walikabidhiwa ardhi hiyo na hayati rais Daniel Moi na wanatoa wito Kwa serikali kuingilia kati na kusitisha mpango huo unaolenga kuhujumu haki yao ya kimsingi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wakazi wa Oljorai, Nakuru waandamana kulalamikia unyakuzi wa ardhi yao
- - Ada za ardhi Malindi ››
- 18 Jul 2025 - A multi-agency team led by officers from the Obama Police Station in Kayole carried out a night raid on Thursday targeting illicit alcohol brewing dens in the Mwengenye area, near the Dandora Bridge along the Nairobi River.
- 18 Jul 2025 - Members of Parliament have raised concerns over delayed justice within the Judicial system, calling on judges to expedite case processing.
- 18 Jul 2025 - Naivasha Member of Parliament (MP) Jayne Kihara has been presented at the Milimani Law Courts following her arrest on Friday.
- 18 Jul 2025 - The senator was speaking during a Senate session on Thursday.
- 18 Jul 2025 - For the first time ever, Kenyan gamers will have the chance to represent Africa at the Call of
- 18 Jul 2025 - Dillard took office last year after Meg Whitman's resignation.
- 18 Jul 2025 - The Teachers Service Commission (TSC) has announced a nationwide retooling exercise for senior school teachers as part of preparations for the rollout of Competency-Based Education (CBE) under the Competency-Based Curriculum (CBC).
- 18 Jul 2025 - The dispute involves financial expenses incurred two years ago in a court case concerning the distribution of the Political Parties Fund.
- 18 Jul 2025 - The association emphasised the economic role of the boda boda sector, noting that it supports over 2 million families nationwide.
- 18 Jul 2025 - Former Roots Party deputy presidential candidate Justina Wamae has called for urgent reforms to empower the Office of