Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa samburu na kajiado watoa maoni juu ya uuzaji wa hisa za Safaricom

  • | Citizen TV
    206 views
    Duration: 3:44
    Mchakato wa kupokea maoni kuhusu uuzaji wa asilimia 15 ya hisa za serikali katika kampuni ya Safaricom unazidi kuvutia hisia mseto. katika mikutano uliofanyika katika kaunti za Samburu na Kajiado, Wananchi walielezea hofu yao kuwa mpango huo ulikuwa na nia fiche hasa ikizingatiwa inatekelezwa mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa mwaka ujao, huku baadhi wakiunga mkono uzzaji wa hisa hizo