Skip to main content
Skip to main content

Wakenya wahimizwa kujisajili kwa wingi huku usajili wa wapiga kura ukiendelea hadi Aprili 28

  • | Citizen TV
    627 views
    Duration: 3:30
    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi IEBC Erastus Ethekon amezindua rasmi zoezi la usajili wa kuendelea wa wapiga kura huku akitoa wito wa ushirikiano kufanikisha zoezi hili . Ethekon amezungumza kaunti ya Kwale wakati wa uzinduzi rasmi wa zoezi hili linalotarajiwa kukamilika tarehe 28 mwezi wa Aprili.