Skip to main content
Skip to main content

Wakenya wanaoishi Ughaibuni watakiwa kupiga jeki sekta ya afya

  • | Citizen TV
    370 views
    Duration: 1:42
    Wakenya wanaoishi Ughaibuni wamehimizwa kuelekeza sehemu ya zaidi ya dola bilioni 3.5 wanazotuma kila mwaka, katika sekta ya afya ili kuchochea maendeleo endelevu humu nchini.