MAZOEZI YA YOGA
Huku dunia inapoadhimisha siku ya kimataifa ya mazoezi ya viungo ya Yoga, mamia ya wakenya waliungana na maafisa wa kibalozi katika uwanja wa Visa Oshwal ulio Westlands, jijini Nairobi,kuadhimisha siku hiyo ya kimataifa ya kale ya mazoezi ya viungo na afya ya kiakili.Hafla hiyo iliyoandaliwa na ubalozi wa India ilitumiwa kuangazia umaarufu wa mazoezi ya yoga nchini Kenya katika kuhakikisha afya bora.
#WorldcupIkoKBC
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive