Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wa mpunga Kisumu wakadiria hasara kubwa baada ya mafuriko

  • | Citizen TV
    342 views
    Duration: 2:13
    Zaidi ya ekari mia moja za mpunga zimeharibiwa kufuatia mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia leo katika kaunti ya Kisumu. Wakulima kutoka eneo la Kochieng wanakadiria hasara kubwa, kwani wengi walikuwa wamejitayarisha kuvuna hii leo