14 May 2026 11:33 am | Citizen TV 66 views Duration: 1:48 Wakulima wa pamba kaunti ya Lamu wamehimiza serikali kupiga jeki kampeni ya "buy Kenya, build Kenya" kwa kuhakikisha kuna kampuni zaidi za kutengeneza manguo eneo hilo kama njia ya kuongeza ajira na kuhimiza ukuzaji wa pamba