Skip to main content
Skip to main content

Walemavu katika kaunti za Wajir na Mandera wataka kuhusishwa kwenye sherehe za madaraka

  • | Citizen TV
    88 views
    Duration: 1:25
    Watu wanaoishi na ulemavu kutoka kaunti za Wajir na Mandera sasa waiomba serikali ya rais William Ruto kuzingatia ushirikishwaji wao huku eneo hilo likijiandaa kuandaa sherehe za madaraka day