- 234 views
Kundi la walemavu katika eneo la Tharaka, Kaunti ya Tharaka Nithi linaomba viongozi kuwasambazia vyakula vya msaada. Kundi hilo linalalamikia makali ya njaa kufuatia kiangazi cha muda katika eneo hilo. Wanaoishi na ulemavu wamekuwa wakipitia masaibu ya kusajiliwa ili wafaidi hazina iliyotengewa walemavu. Wanawataka viongozi kufanikisha utoaji wa kadi za ulemavu ili waweze kutambulika. Watu hao pia wanaitaka serikali kuwajengea shule ya watoto wenye mahitaji maalum eneo la Tharaka kwani wanalazimika kuwapeleka watoto hao katika kaunti zingine.
Walemavu Tharaka Nithi wataka kutambuliwa na serikali
- 27 Apr 2024 - Somalia's government said it had suspended and detained several members of an elite, U.S.-trained commando unit for stealing rations donated by the United States, adding that it was taking over responsibility for provisioning the force.
- 27 Apr 2024 - Pope Francis will attend this year's Group of Seven (G7) leaders' summit to discuss the challenges posed by Artificial Intelligence (AI), Italian Prime Minister Giorgia Meloni said on Friday.
- 27 Apr 2024 - UDA party grassroots elections kicked off in various counties to confusion largely caused by voter identification hitches in some parts and late starts in others.
- 26 Apr 2024 - A Malindi court has sentenced a Madrassa teacher to 20 years in prison for stupefying his 15-year-old student before sodomizing him repeatedly.
- 26 Apr 2024 - The ongoing heavy rains that have wreaked havoc across the country have also flooded the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA).
- 26 Apr 2024 - 11 people onboard a lorry that was swept away at River Kwa Muswii in Sultan Hamud, Makueni County have been rescued. Rescue efforts by a multi-agency team including the county government and Kenya Red Cross are ongoing in the wake of unconfirmed reports…
- 26 Apr 2024 - These are the stories making the headlines in the Star.
- 26 Apr 2024 - Acting MD Henry Ogoye said repair works have commenced at terminals 1B and 1C.
- 26 Apr 2024 - The singer says she realises touring with Brown, who has an assault conviction, may spark criticism.
- 26 Apr 2024 - The flooding has been caused by torrential rains linked to the El Niño weather phenomenon.