- 107 viewsWalimu pamoja na familia ya mwalimu aliyeuawa walifanya maandamano katika Kaunti ya Kericho wakiwataka polisi kuwajibika na kuwapa haki. Mwili wa mwalimu huyo, Martina Chepkemoi Ruto, ulipatikana umetupwa mtoni baada ya kuuwawa kwa kudungwa kisu.