Skip to main content
Skip to main content

Walimu wanagenzi watisha kugoma Januari kutaka kandarasi za kudumu

  • | Citizen TV
    244 views
    Duration: 3:08
    Walimu wanagenzi wa shule za sekondari msingi nchini wanatishia kugoma kuanzia januari 2026 wakitaka serikali kuwapa ajira ya kudumu. Walimu hao wanasema walitarajia kuajiriwa baada ya kandarasi yao ya mwaka mmoja kukamilika mwisho wa mwaka huu, ila hadi sasa hakuna mwelekeo mwafaka. Walimu hao wanalalamikia kufanya kazi sawa na walioajiriwa, ila wanalipwa mishahara duni.