Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi 10 wa shule ya upili ya wavulana ya Litein wazuiliwa kwa vurumai la jana jumapili

  • | Citizen TV
    8,002 views
    Duration: 2:50
    Wanafunzi 10 wa shule ya upili ya wavulana ya Litein wamekamatwa na maafisa wa polisi wakihusishwa na vurumai lililotokea ndani ya shule hiyo. Wanafunzi waliripotiwa kuzua fujo na kuteketeza shule baada ya kunyimwa nafasi ya kutazama mechi kati ya Arsenal na Manchester City jumapili. Kwa sasa, shule hiyo imefungwa kwa muda.