Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi wa chuo cha Pwani wasema wataandamana

  • | Citizen TV
    9,488 views
    Duration: 1:46
    Wanafunzi wa chuo kikuu cha Pwani mjini Kilifi wametoa makataa ya saa 48 kwa serikali kuu kuwalipa wahadhiri wa vyuo vikuu nchini la sivyo waandamane.