Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi wataka serikali itatue mgomo wa wahadhiri

  • | Citizen TV
    2,467 views
    Duration: 5:10
    Wanafunzi wa chuo kikuu cha TUM Kaunti ya Mombasa wanafanya maandamano ya amani wakilalamikia kimya cha serikali kuhusu kutatua mgomo wa wahadhiri. Wanafunzi hao wanalalama kuwa hatua hiyo imewanyima haki ya masomo.