Skip to main content
Skip to main content

Wanasiasa waombwa kusitisha matusi wakati wa Jumapili ya Mitenge kwenye makanisa

  • | Citizen TV
    604 views
    Duration: 2:53
    Viongozi wa kidini wamewataka viongozi wa kisiasa kupunguza matamshi ya chuki na kujizuia na mijadala ya matusi hadharani. Aidha, viongozi wa makanisa waliozungumza kwenye hotuba zao wakati Wakristo duniani wakiadhimisha jumapili ya mitende pia wamewataka viongozi kuwajibikia maswala muhimu ya wakenya.