Skip to main content
Skip to main content

Wanawake 32 Wajawazito Wafariki Bungoma Mwaka Huu

  • | Citizen TV
    79 views
    Duration: 1:50
    Kina mama wajawazito 32 wamepoteza maisha katika Kaunti ya Bungoma mwaka huu wakati wa kujifungua, huku mgomo wa wauguzi uliokamilika hivi majuzi ukitajwa miongoni mwa sababu zilizochangia vifo hivyo.