- 206 viewsDuration: 2:23Baadhi ya kina mama kaunti ya Kisumu wameamua kukodisha mashamba kwa kilimo cha mpunga na mboga ili kujikumu kimaisha. Hatua hii ikijiri huku takwimu za hivi punde zikionyesha uhaba wa hati miliki kama kigezo kikubwa kwa wanawake wakulima. Laura Otieno alizuru mashamba ya Ahero na kupata simulizi ya wanawake wanaolisha taifa licha ya changamoto za ukosefu wa ardhi.