Skip to main content
Skip to main content

Wanawake wa Magadi wasema watasusia uchaguzi mkuu 2027

  • | Citizen TV
    1,058 views
    Duration: 4:03
    Wanawake kutoka wadi ya Magadi, Kaunti ya Kajiado wameapa kutoshiriki uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027 Iwapo serikali haitajitokeza na kuruhusu uchaguzi wa muungano wa wanawake katika eneo hilo. Wakizungumza baada ya kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi ambao kwa mara Nyingine tena uliahirishwa, wanawake hao wanasema uchaguzi wa viongozi wa wanawake umejikokota kwa zaidi ya miaka 28 na kuwanyima wanawake sauti za kujitetea ikizingatiwa kuwa wanawake wanapitia changamoto nyingi huko Magadi.