Skip to main content
Skip to main content

Wanawake watakiwa kuwania nyadhifa za uongozi

  • | KBC Video
    71 views
    Duration: 1:37
    Wanawake wamehimizwa kuwania nyadhifa za uongozi ambazo mara nyingi zimeidhaniwa kuwa za wanaume pekee yao.Huo ni ujumbe uliokithiri kwenye majadiliano wakati wa hafla ya kuapishwa kwa rais mteule wa tawi la Stoni Athi la chama cha Rotary,Harriet Ndege, ambaye aliwashauri wanawake kuwania nyadhifa hizo muhimu bila uoga. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive