Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa 3 waachiliwa kwa dhamana katika sakata la mafuta

  • | Citizen TV
    3,953 views
    Duration: 2:25
    Kufikia sasa Jumla ya watu 20 wameandikisha taarifa na idara ya upelelezi DCI kuhusiana na kashfa ya uagizaji petroli iliosababisha kupotea kwa shilingi bilioni 2.9. Wakati huo huo washukiwa watatu Mohammed Liban, Joe Sang na Daniel Kiptoo wameachiliwa kwa dhamana huku mawakili wao wakiwasilisha stakabadhi wanazodai zilisababisha kutolewa kwa amri ya kuagiza petroli kutoka kwa kamati kuu ya baraza la usalama nchini.