13 Feb 2026 1:32 pm | Citizen TV 1,858 views Duration: 47s Washukiwa watatu wa wizi wa mabavu walionaswa kwenye kamera za CCTV wakiiba ndani ya duka la kuuzia mvinyo katika barabara ya Muhuri, Januari tarehe 27, mwaka huu, wamefikishwa mahakamani Thika