MBIO ZA SAKAFUNI…
Maafisa wa polisi katika kaunti ya Uasin Gishu waliwaua kwa kuwapiga risasi washukiwa wanne wa uhalifu waliojihami kwenye barabara ya kutoka Eldoret kuelekea Kiplombe na Soy. Hata hivyo washukiwa wawili walitoroka na wanasakwa na polisi. Genge hilo linaaminika kushiriki matukio ya wizi wa kimabavu yaliyoripotiwa katika maeneo ya Kitale, Kapenguria, Nandi, Marakwet na Eldoret.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive