- 2,716 viewsDuration: 2:57Maafisa wa upelelezi wamewakamata washukiwa wengine wanne wanaodaiwa kuhusika na kuzikwa kwa maiti 33 kwenye kaburi la halaiki kaunti ya Kericho. Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen amesema serikali imezamia swala hilo na kwamba sheria itafuata mkondo wake ili kuhakikisha wahusika wote wanachukuliwa hatua za kisheria. Uchunguzi wa maiti ulibaini kuwa baadhi ya maiti hiyo ilikuwa na