7 Apr 2026 7:49 pm | Citizen TV 294 views Duration: 2:15 Timu ya taifa ya soka kwa wasichana wa chini ya miaka kumi na saba wameendelea mazoezi yao kwa mkondo wa kwanza kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Namibia ugenini. Mwanaspoti wetu Luqman Mahmoud na mengi zaidi.