Skip to main content
Skip to main content

Watetezi wa haki wataka vituo vya kuokoa watoto vijengwe Tana River

  • | Citizen TV
    251 views
    Duration: 2:19
    Ukosefu wa vituo vya kuokoa watoto katika kaunti ya Tana River umetajwa kama mojawapo ya changamoto kubwa inayotatiza upatikanaji wa haki kwa watoto kaunti hiyo.