Skip to main content
Skip to main content

Watoto wenye matatizo ya midomo na kaakaa ngumu wasaidiwa katika eneo la Kimilili

  • | Citizen TV
    176 views
    Duration: 2:18
    Mamia ya watoto wanaozaliwa na tatizo la maumbile ya midomo na kaakaa gumu katika eneo la magharibi wapata afueni baada ya kituo cha upasuaji bila malipo kufunguliwa katika hospitali ya Kimisheni ya Dreamland Kimilili kwa ushirikiano na shirika la Smile Train.