Skip to main content
Skip to main content

Watu 9 wafariki usiku wa kuamkia leo huko Naivasha, 30 wakijeruhiwa

  • | Citizen TV
    12,270 views
    Duration: 1:54
    Watu 9 wamefariki usiku wa kuamkia leo huku zaidi ya 30 wakijeruhiwa katika eneo la Karai kwenye Barabara kuu ya Naivasha kuelekea Nakuru baada ya basi la kampuni ya Greenline na matatu ya Nanyuki cabs kugongana.