Skip to main content
Skip to main content

Watu kadhaa wajeruhiwa polisi wakiwakabili waandamanaji #tanzania #uchaguzi2025 #maandamano

  • | BBC Swahili
    28,134 views
    Duration: 1:04
    Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya makabiliano makali baina ya polisi na waandamanaji katika maeneo ya jiji la Dar es Salaam. - Maandamano haya ni sehemu ya mwitikio wa mitandaoni wa makundi ya wanaharakati na vijana wakitaka mageuzi zaidi ya kisiasa. - - - #tanzania #uchaguzi #bbcswahili #foryou #uchaguzimkuu2025 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw