- 6,589 viewsDuration: 2:42Watu 8 wamefariki kupitia ajali mbili tofauti za barabarani kwenye barabara kuu ya Nairobi–Mombasa. Watu sita walifariki baada ya basi la kampuni ya Tahmeed kugongana na malori mawili. Watu wengine wawili walifariki baada ya gari walimokuwa wakisafiria kugongana ana kwa ana na trela eneo la Salama