Skip to main content
Skip to main content

Watu wanne wakamatwa na pombe zaidi ya lita elfu sita kunaswa

  • | Citizen TV
    677 views
    Duration: 2:24
    Watu wanne wakatwa na pombe zaidi ya lita elfu sita kunaswa katika nyumba moja eneo la Rhonda, Nakuru Magharibi katika msako wa kupambana na pombe haramu. Wanne hao wakamatwa katika boma wanakotengenezea pombe haramu