21 May 2026 2:07 pm | Citizen TV 677 views Duration: 2:24 Watu wanne wakatwa na pombe zaidi ya lita elfu sita kunaswa katika nyumba moja eneo la Rhonda, Nakuru Magharibi katika msako wa kupambana na pombe haramu. Wanne hao wakamatwa katika boma wanakotengenezea pombe haramu