Skip to main content
Skip to main content

Watu wawili wafariki baada ya kupigwa na radi Makueni

  • | Citizen TV
    12,824 views
    Duration: 3:11
    Watu wawili wamefariki baada ya kupigwa na radi iliyoambatana na mvua kubwa katika kaunti ya Makueni na kufikisha idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko katika kaunti hiyo kufikia watu kumi na wanane. Haya yanajiri huku Zaidi ya familia 150 zikilazimika kuhama baada ya maji kuingia katika nyumba zao katika wadi ya Mbitini kaunti hiyo ya Makueni.