Skip to main content
Skip to main content

Watu wawili wateketea hadi kufa katika ajali ya lori Turbo kaunti ya Uasin Gishu

  • | Citizen TV
    2,523 views
    Duration: 2:56
    Watu wawili wameteketea hadi kufa baada ya lori la kusafirisha petroli kulipuka kwenye ajali iliyotokea karibu na shule ya upili ya vijana ya Paul Boit, eneo bunge la Turbo kaunti ya Uasin Gishu,barabara kuu ya Eldoret Webuye.