Skip to main content
Skip to main content

Watu zaidi ya milioni mbili watahitaji msaada wa chakula huku hofu ya ukame ikiongezeka

  • | Citizen TV
    2,845 views
    Duration: 2:14
    Zaidi ya watu milioni mbili nchini watahitaji msaada wa chakula katika muda wa majuma matatu yajayo, huku hofu ya ukame ikiendelea kushuhudiwa. Idara ya utabiri wa hali ya anga ikisema kuwa hali hiyo inaendelea kuongezeka katika baadhi ya kaunti huku nyingine zikianza kuingia hali mbaya.