Skip to main content
Skip to main content

Waumini wa ACK Kapenguria wahofia njama ya kumteua askofu kinyume cha utaratibu kwa kutofuatwa kwa

  • | Citizen TV
    659 views
    Duration: 2:20
    Viongozi na waumini wa Kanisa la Anglican (ACK) Dayosisi ya Kapenguria wametaka suluhu ya haraka ya mgogoro wa uongozi uliodumu kwa miaka kadhaa na kuligawa kanisa. Wanasema kushindwa kuchagua askofu mpya kunatokana na kutofuatwa kwa katiba ya kanisa kumesababisha mgogoro mkubwa.,kulingana nao, kuna njama za kumteua askofu mpya kinyume cha utaratibu.