Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa elimu Ogamba ahojiwa bungeni kuhusu ufadhili wa vyuo vya kiufundi

  • | Citizen TV
    300 views
    Duration: 1:13
    Julius Migos Ogamba amefika mbele ya Kamati ya Bunge ya Elimu kujibu maswali kuhusu hatma ya vyuo vya kiufundi nchini, huku suala la ufadhili wa taasisi hizo likitawala mjadala.