Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa usalama Murkomen atetea msimamo wa mafuta kwa polisi

  • | Citizen TV
    681 views
    Duration: 3:06
    Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen ameendeleza msimamo wake kuwa hakuna makosa kwa wakenya kuwapa maafisa wa polisi mafuta ya magari wanapohitaji, ili kufanikisha usalama kwa wananchi. Murkomen akionekana kuwakosoa wale anaosema wanakerwa na matamshi yake. Alizungumza kaunti ya Mandera ambako pia alitangaza kuwa machifu eneo hilo watapewa silaha na mafunzo maalum ya kijeshi kujilinda na mashambulizi ya mara kwa mara ya Al Shabaab.