Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen asema polisi yafanya tathmini ya usalama

  • | Citizen TV
    475 views
    Duration: 1:18
    Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amesema kuwa wizara yake na idara ya polisi imefanya tathmini ya usalama katika maeneo yatakayoshiriki uchaguzi mdogo alhamisi ijayo. Waziri Murkomen amesema kuwa maafisa wa usalama zaidi wamepelekwa katika maeneo hayo kuhakikisha kuwa uchaguzi unafanyika bila vurugu ya aina yoyote.