Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa zamani Fred Matiang'i aongoza ujumbe kumfariji Mama Ida

  • | Citizen TV
    2,485 views
    Duration: 1:48
    Waziri wa zamani Fred Matiang’i aliungana na viongozi wa Gusii kutoka Kaunti za Kisii na Nyamira kumtembelea Mama Ida Odinga kumfariji baada ya kifo cha mumewe, Raila Odinga.