Skip to main content
Skip to main content

Wiki ya Idara ya Magereza yazinduliwa

  • | KBC Video
    161 views
    Duration: 3:19
    Waziri wa ulinzi Soipan Tuya ameitaka huduma ya magereza humu nchini kutumia teknolojia ili kufanikisha huduma zao. Akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa wiki ya idara ya urekebishaji tabia, Tuya alisema kuwa teknolojia itasaidia katika utoaji taarifa kwa wakati, kurahisisha usimamizi wa kesi na kuimarisha uwajibikaji katika mfumo wa utekelezaji haki. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive