Skip to main content
Skip to main content

Maduro akanusha mashtaka dhidi yake New York. Katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    47,044 views
    Duration: 28:10
    Rais wa Venezuela Nicolas Maduro amekanusha mashtaka yanayomkabili ya ulanguzi wa dawa za kulevya na ugaidi alipofikishwa mahakamani jijini New York hii leo. Kiongozi huyo na mke wake Cilia Flores walifikishwa mahakamani chini ya ulinzi mkali. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #bbcswahilileo #venezuela #maduro #bbcswahili