Skip to main content
Skip to main content

Zaidi ya shule 14 kutoka Chesikaki zimepokea vitabu vya hadithi fupi kusaidia wanafunzi wa gredi ya

  • | Citizen TV
    262 views
    Duration: 1:45
    Zaidi ya shule 14 za msingi kutoka wadi ya Chesikaki eneo bunge la Mlima Elgon kaunti ya Bungoma zimepokea vitabu vya hadithi fupi vitakavyowasaidia wanafunzi wa gredi ya 2 na 3 kufahamu kusoma kingereza. Hatua ya kutoa msaada huo wa vitabu kwa shule mbalimbali iliafikiwa baada ya kubainika kuwa wanafunzi kutoka shule zilizolengwa hawakuwa na uwezo wa kusoma wala kuandika kando na kupiga jeki juhudi za mtaala mpya wa elimu CBE.